واذا الوحوش حشرت ٥
وَإِذَا ٱلْوُحُوشُ حُشِرَتْ ٥
وَاِذَا
الْوُحُوْشُ
حُشِرَتْ
۟
3
Na pindi wanyama mwitu watakapokusanywa na kutangamanishwa, ili Mwenyezi Mungu Awape nafasi ya kulipizana wao kwa wao.