هاذه جهنم التي يكذب بها المجرمون ٤٣
هَـٰذِهِۦ جَهَنَّمُ ٱلَّتِى يُكَذِّبُ بِهَا ٱلْمُجْرِمُونَ ٤٣
هٰذِهٖ
جَهَنَّمُ
الَّتِیْ
یُكَذِّبُ
بِهَا
الْمُجْرِمُوْنَ
۟ۘ
3
Wataambiwa hao wahalifu kwa njia ya kulaumiwa na kudhalilishwa, «Huu ndio moto wa Jahanamu ambao wahalifu duniani walikuwa wakiukanusha: