الا ابليس استكبر وكان من الكافرين ٧٤
إِلَّآ إِبْلِيسَ ٱسْتَكْبَرَ وَكَانَ مِنَ ٱلْكَـٰفِرِينَ ٧٤
اِلَّاۤ
اِبْلِیْسَ ؕ
اِسْتَكْبَرَ
وَكَانَ
مِنَ
الْكٰفِرِیْنَ
۟
3
isipokuwa Iblisi Yeye hakusujudu kwa ujeuri na kiburi, na alikuwa, katika ujuzi wa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, ni miongoni mwa makafiri.