وارادوا به كيدا فجعلناهم الاخسرين ٧٠
وَأَرَادُوا۟ بِهِۦ كَيْدًۭا فَجَعَلْنَـٰهُمُ ٱلْأَخْسَرِينَ ٧٠
وَاَرَادُوْا
بِهٖ
كَیْدًا
فَجَعَلْنٰهُمُ
الْاَخْسَرِیْنَ
۟ۚ
3
Na wale watu walimtakia Ibrāhīm maangamivu na Mwenyezi Mungu Akavitangua vitimbi vyao na Akawafanya wao wawe ni wenye kushindwa na kuwa chini.