قال ربنا الذي اعطى كل شيء خلقه ثم هدى ٥٠
قَالَ رَبُّنَا ٱلَّذِىٓ أَعْطَىٰ كُلَّ شَىْءٍ خَلْقَهُۥ ثُمَّ هَدَىٰ ٥٠
قَالَ
رَبُّنَا
الَّذِیْۤ
اَعْطٰی
كُلَّ
شَیْءٍ
خَلْقَهٗ
ثُمَّ
هَدٰی
۟
3
Mūsā akamwambia, «Mola wetu ni Yule Ambaye Alikipa kila kitu umbile linalokifaa kulingana na uzuri wa utengezaji Wake kisha akamuongoza kila kiumbe uongofu kamili wa kunufaika kwa kile alichomuumbia Mwenyezi Mungu.»