وكان له ثمر فقال لصاحبه وهو يحاوره انا اكثر منك مالا واعز نفرا ٣٤
وَكَانَ لَهُۥ ثَمَرٌۭ فَقَالَ لِصَـٰحِبِهِۦ وَهُوَ يُحَاوِرُهُۥٓ أَنَا۠ أَكْثَرُ مِنكَ مَالًۭا وَأَعَزُّ نَفَرًۭا ٣٤
وَّكَانَ
لَهٗ
ثَمَرٌ ۚ
فَقَالَ
لِصَاحِبِهٖ
وَهُوَ
یُحَاوِرُهٗۤ
اَنَا
اَكْثَرُ
مِنْكَ
مَالًا
وَّاَعَزُّ
نَفَرًا
۟
3
Na mwenye hayo mashamba mawili alikuwa na matunda na mali mengine, hapo akasema kumwambia mwenzake akimjadili katika mazungumzo, na huku amejawa na majivuno, «Mimi ni mwingi wa utajiri kuliko wewe na nina wasaidizi wenye nguvu zaidi wenye kunihami.»