فاصدع بما تومر واعرض عن المشركين ٩٤
فَٱصْدَعْ بِمَا تُؤْمَرُ وَأَعْرِضْ عَنِ ٱلْمُشْرِكِينَ ٩٤
فَاصْدَعْ
بِمَا
تُؤْمَرُ
وَاَعْرِضْ
عَنِ
الْمُشْرِكِیْنَ
۟
3
Na utangaze waziwazi ulinganizi wa haki ambao Amekuamrisha nao Mwenyezi Mungu, wala usiwajali washirikina, kwani kwa kweli Amekutakasa Mwenyezi Mungu kutokana na hayo wanayoyasema.