وان كان اصحاب الايكة لظالمين ٧٨
وَإِن كَانَ أَصْحَـٰبُ ٱلْأَيْكَةِ لَظَـٰلِمِينَ ٧٨
وَاِنْ
كَانَ
اَصْحٰبُ
الْاَیْكَةِ
لَظٰلِمِیْنَ
۟ۙ
3
Na kwa hakika, wakazi wa mji uliozingirwa na miti, nao ni watu wa Shu'ayb, walikuwa ni wenye kuzidhulumu nafsi zao kwa kumkanusha Mwenyezi Mungu na Mtume wao mtukufu.