ويمنعون الماعون ٧
وَيَمْنَعُونَ ٱلْمَاعُونَ ٧
undefined
undefined
undefined
3
Na wanakataa kuwaazima watu vitu ambavyo hawadhuriki kwa kuviazima, kama vyombo vya kutumia na vinginevyo. Wao hawakujifanyia wema nafsi zao kumuabudu Mola wao wala hawakuwafanyia wema viumbe Vyake.