يسالون ايان يوم الدين ١٢
يَسْـَٔلُونَ أَيَّانَ يَوْمُ ٱلدِّينِ ١٢
یَسْـَٔلُوْنَ
اَیَّانَ
یَوْمُ
الدِّیْنِ
۟ؕ
3
Wanauliza hawa wenye kukanusha suali la kuonyesha kuwa ni jambo lisilowezekana na la kuonyesha ukanushaji, «Ni lini Siku ya kuhesabiwa na kulipwa?»