۞ فنبذناه بالعراء وهو سقيم ١٤٥
۞ فَنَبَذْنَـٰهُ بِٱلْعَرَآءِ وَهُوَ سَقِيمٌۭ ١٤٥
فَنَبَذْنٰهُ
بِالْعَرَآءِ
وَهُوَ
سَقِیْمٌ
۟ۚ
3
Tukamtoa kwenye tumbo la chewa na tukamtupa kwenye ardhi tupu, isiyokuwa na miti wala majengo, akiwa dhaifu wa mwili.