فالتقمه الحوت وهو مليم ١٤٢
فَٱلْتَقَمَهُ ٱلْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌۭ ١٤٢
فَالْتَقَمَهُ
الْحُوْتُ
وَهُوَ
مُلِیْمٌ
۟
3
Hivyo basi akatupwa baharini na chewa akammeza, na hali ni kwamba Yūnus, amani imshukie, ameleta jambo la kumfanya alaumiwe.