فلما احسوا باسنا اذا هم منها يركضون ١٢
فَلَمَّآ أَحَسُّوا۟ بَأْسَنَآ إِذَا هُم مِّنْهَا يَرْكُضُونَ ١٢
فَلَمَّاۤ
اَحَسُّوْا
بَاْسَنَاۤ
اِذَا
هُمْ
مِّنْهَا
یَرْكُضُوْنَ
۟ؕ
3
Walipoiyona, madhalimu hawa, adhabu yetu kali ikiwashukia na wakaziona ishara zake, wakitahamaki wakawa wanakimbia kwa haraka kutoka mjini mwao.