فكذب وعصى ٢١
فَكَذَّبَ وَعَصَىٰ ٢١
undefined
undefined
undefined
3
Hapo Firauni alimkanusha Nabii wa Mwenyezi Mungu , naye ni Mtume Mūsā, amani imshukie, na alimuasi Mola wake Aliyetukuka.