وذكر اسم ربه فصلى ١٥
وَذَكَرَ ٱسْمَ رَبِّهِۦ فَصَلَّىٰ ١٥
وَذَكَرَ
اسْمَ
رَبِّهٖ
فَصَلّٰی
۟ؕ
na akamtaja Mwenyezi Mungu, akampwekesha, akamuomba, akafanya vitendo vya kumridhisha na akasimamisha Swala kwa nyakati zake kwa kutaka radhi za Mwenyezi Mungu na kufuata sheria Aliyoiweka.