ان الذين يحادون الله ورسوله اولايك في الاذلين ٢٠
إِنَّ ٱلَّذِينَ يُحَآدُّونَ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥٓ أُو۟لَـٰٓئِكَ فِى ٱلْأَذَلِّينَ ٢٠
اِنَّ
الَّذِیْنَ
یُحَآدُّوْنَ
اللّٰهَ
وَرَسُوْلَهٗۤ
اُولٰٓىِٕكَ
فِی
الْاَذَلِّیْنَ
۟
Hakika wale wanaoenda kinyume na amri ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, hao ni miongoni mwa wadhalilifu walioshindwa na kufanywa wanyonge duniani na Akhera.