ان المجرمين في ضلال وسعر ٤٧
إِنَّ ٱلْمُجْرِمِينَ فِى ضَلَـٰلٍۢ وَسُعُرٍۢ ٤٧
اِنَّ
الْمُجْرِمِیْنَ
فِیْ
ضَلٰلٍ
وَّسُعُرٍ
۟ۘ
Hakika wahalifu wa ukafiri wako katika hali ya kuduwaa kutoijua haki na wako kwenye usumbufu na adhabu.