ام يقولون نحن جميع منتصر ٤٤
أَمْ يَقُولُونَ نَحْنُ جَمِيعٌۭ مُّنتَصِرٌۭ ٤٤
اَمْ
یَقُوْلُوْنَ
نَحْنُ
جَمِیْعٌ
مُّنْتَصِرٌ
۟
Au kwani wanasema makafiri wa Makkah, «Sisi ndio wenye ushupavu na busara, na jambo letu ni la pamoja. Sisi ni watu wa ushindi, na hatatushinda anayetutaka kwa ubaya.?»