ولا يصدنكم الشيطان انه لكم عدو مبين ٦٢
وَلَا يَصُدَّنَّكُمُ ٱلشَّيْطَـٰنُ ۖ إِنَّهُۥ لَكُمْ عَدُوٌّۭ مُّبِينٌۭ ٦٢
وَلَا
یَصُدَّنَّكُمُ
الشَّیْطٰنُ ۚ
اِنَّهٗ
لَكُمْ
عَدُوٌّ
مُّبِیْنٌ
۟
Na asiwazuie Shetani, kwa kutia kwake wasiwasi kwa watu, kunitii mimi katika yale ninayowaamrisha na ninayowakataza, kwani yeye ni adui kwenu ambaye uadui wake uko waziwazi.