اذ قال لقومه الا تتقون ١٢٤
إِذْ قَالَ لِقَوْمِهِۦٓ أَلَا تَتَّقُونَ ١٢٤
اِذْ
قَالَ
لِقَوْمِهٖۤ
اَلَا
تَتَّقُوْنَ
۟
Kumbuka na utaja pindi aliposema kuwaambia watu wake, kati ya Wana wa Isrāīl, «Mcheni Mwenyezi Mungu, Peke Yake, na mumuogope, na msimshirikishe mwengine pamoja na Yeye.