كذالك نجزي المحسنين ١١٠
كَذَٰلِكَ نَجْزِى ٱلْمُحْسِنِينَ ١١٠
كَذٰلِكَ
نَجْزِی
الْمُحْسِنِیْنَ
۟
Kama tulivyomlipa malipo mema Ibrāhīm kwa utiifu wake kwetu na kufuata kwake amri yetu, ndivyo tutakavyowalipa wenye kufanya wema miongoni mwa waja wetu.