وما علينا الا البلاغ المبين ١٧
وَمَا عَلَيْنَآ إِلَّا ٱلْبَلَـٰغُ ٱلْمُبِينُ ١٧
وَمَا
عَلَیْنَاۤ
اِلَّا
الْبَلٰغُ
الْمُبِیْنُ
۟
Na si juu yetu isipokuwa ni kufikisha ujumbe kwa uwazi, na hatuna mamlaka ya kuwafanya muongoke, kwani uongofu uko mikononi mwa Mwenyezi Mungu Peke Yake.»