انا عرضنا الامانة على السماوات والارض والجبال فابين ان يحملنها واشفقن منها وحملها الانسان انه كان ظلوما جهولا ٧٢
إِنَّا عَرَضْنَا ٱلْأَمَانَةَ عَلَى ٱلسَّمَـٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَٱلْجِبَالِ فَأَبَيْنَ أَن يَحْمِلْنَهَا وَأَشْفَقْنَ مِنْهَا وَحَمَلَهَا ٱلْإِنسَـٰنُ ۖ إِنَّهُۥ كَانَ ظَلُومًۭا جَهُولًۭا ٧٢
اِنَّا
عَرَضْنَا
الْاَمَانَةَ
عَلَی
السَّمٰوٰتِ
وَالْاَرْضِ
وَالْجِبَالِ
فَاَبَیْنَ
اَنْ
یَّحْمِلْنَهَا
وَاَشْفَقْنَ
مِنْهَا
وَحَمَلَهَا
الْاِنْسَانُ ؕ
اِنَّهٗ
كَانَ
ظَلُوْمًا
جَهُوْلًا
۟ۙ
Sisi tuliiorodhesha amana- ambayo Mwenyezi Mungu Amewapatia waliokalifishwa na Sheria waitunze, nayo ni kufuata maamrisho na kujiepusha na makatazo- kwa mbingu, ardhi na majabali, vikakataa kuibeba na vikaogopa visiweze kusimama kuitekeleza, na akaibeba binadamu na akashikamana nayo pamoja na udhaifu Wake. Hakika yeye ni mwingi wa udhalimu na ujinga wa nafsi yake.