وان عزموا الطلاق فان الله سميع عليم ٢٢٧
وَإِنْ عَزَمُوا۟ ٱلطَّلَـٰقَ فَإِنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٌۭ ٢٢٧
وَاِنْ
عَزَمُوا
الطَّلَاقَ
فَاِنَّ
اللّٰهَ
سَمِیْعٌ
عَلِیْمٌ
۟
Na iwapo wameamua kutaliki, kwa kuendelea kwao na kiapo chao na kuacha kuundama, Basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyasikia maneno yao, ni Mjuzi wa Malengo yao, na Atawalipa kwayo.