ام يقولون به جنة بل جاءهم بالحق واكثرهم للحق كارهون ٧٠
أَمْ يَقُولُونَ بِهِۦ جِنَّةٌۢ ۚ بَلْ جَآءَهُم بِٱلْحَقِّ وَأَكْثَرُهُمْ لِلْحَقِّ كَـٰرِهُونَ ٧٠
اَمْ
یَقُوْلُوْنَ
بِهٖ
جِنَّةٌ ؕ
بَلْ
جَآءَهُمْ
بِالْحَقِّ
وَاَكْثَرُهُمْ
لِلْحَقِّ
كٰرِهُوْنَ
۟
Au wanamdhania kuwa ni mwendawazimu? Kwa hakika wamedanganya. Ukweli ni kuwa amewajia na Qur’ani, upwekeshaji Mwenyezi Mungu na dini ya kweli. Na wengi wao wanaichukia haki kwa uhasidi na uadui.