لنريك من اياتنا الكبرى ٢٣
لِنُرِيَكَ مِنْ ءَايَـٰتِنَا ٱلْكُبْرَى ٢٣
لِنُرِیَكَ
مِنْ
اٰیٰتِنَا
الْكُبْرٰی
۟ۚ
Tumefanya hivyo ili kukuonesha , ewe Mūsā, dalili zetu kubwa zenye kutolea ushahidi uweza wetu, ukubwa wa ufalme wetu na usahihi wa utume wako.