ولا تمش في الارض مرحا انك لن تخرق الارض ولن تبلغ الجبال طولا ٣٧
وَلَا تَمْشِ فِى ٱلْأَرْضِ مَرَحًا ۖ إِنَّكَ لَن تَخْرِقَ ٱلْأَرْضَ وَلَن تَبْلُغَ ٱلْجِبَالَ طُولًۭا ٣٧
وَلَا
تَمْشِ
فِی
الْاَرْضِ
مَرَحًا ۚ
اِنَّكَ
لَنْ
تَخْرِقَ
الْاَرْضَ
وَلَنْ
تَبْلُغَ
الْجِبَالَ
طُوْلًا
۟
Na usitembee ardhini kwa kujigamba na kujivuna, kwani wewe hutaipasua ardhi kwa kutembea juu yake kwa namna hiyo na hutaifikia milima katika urefu kwa kujigamba kwako, kujivuna kwako na kutakabari kwako.