وعلامات وبالنجم هم يهتدون ١٦
وَعَلَـٰمَـٰتٍۢ ۚ وَبِٱلنَّجْمِ هُمْ يَهْتَدُونَ ١٦
وَعَلٰمٰتٍ ؕ
وَبِالنَّجْمِ
هُمْ
یَهْتَدُوْنَ
۟
Na kwenye hiyo ardhi Ameweka alama ambazo kwa alama hizo mnajielekeza njia kipindi cha mchana, kama alivyoziweka nyota ili kujiongoza kwa nyota hizo kipindi cha usiku.