ثم جعلناكم خلايف في الارض من بعدهم لننظر كيف تعملون ١٤
ثُمَّ جَعَلْنَـٰكُمْ خَلَـٰٓئِفَ فِى ٱلْأَرْضِ مِنۢ بَعْدِهِمْ لِنَنظُرَ كَيْفَ تَعْمَلُونَ ١٤
ثُمَّ
جَعَلْنٰكُمْ
خَلٰٓىِٕفَ
فِی
الْاَرْضِ
مِنْ
بَعْدِهِمْ
لِنَنْظُرَ
كَیْفَ
تَعْمَلُوْنَ
۟
Kisha tukawafanya nyinyi, enyi watu, ni badala yao katika ardhi baada ya makame ya wale walioangamizwa, ili tuangalie vipi mtafanya: mema au maovu, tupate kuwalipa kwa hayo, kulingana na matendo yenu.