كذالك نفعل بالمجرمين ١٨
كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِٱلْمُجْرِمِينَ ١٨
undefined
undefined
undefined
undefined
3
Mfano wa uangamizaji huo mkali ndivyo tutakavyowafanya wahalifu kati ya makafiri wa Makkah, kwa kumkanusha kwao Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.