فكيف كان عذابي ونذر ٣٠
فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِى وَنُذُرِ ٣٠
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
3
basi ilikuwa vipi nilivyowaadhibu kwa ukafiri wao na nilivyowaonya waliowaasi Mitume wangu? Hakika hiyo ilikuwa adhabu kubwa yenye uchungu.